Chuo kikuu cha Management University of Africa' kimefanya kongamnao la kutoa uhamasisho kuhusu mbinu za usimamizi wa vyuo kufuatia athari za ugonjwa wa Covid-19.
Kongamano hilo lilihudhuriwa na waakilishi kutoka vyuo vikuu vya Marekani, Japan na India, ambapo uasimamizi wa chuo hicho ulimpongeza rais William Ruto kwa kupiga jeki shughuli za utafiti na ujasiri amali. aidha wadau wa elimu wametakiwa kuwa wabunifu ili kuongeza nafasi za ajira katika sekta mbalimbali.
Kongamano hilo lilihudhuriwa na waakilishi kutoka vyuo vikuu vya Marekani, Japan na India, ambapo uasimamizi wa chuo hicho ulimpongeza rais William Ruto kwa kupiga jeki shughuli za utafiti na ujasiri amali. aidha wadau wa elimu wametakiwa kuwa wabunifu ili kuongeza nafasi za ajira katika sekta mbalimbali.
- Category
- Management

Be the first to comment